Methali 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Je, kimbelembele kimekuja? Basi aibu itakuja;+ lakini wenye kiasi wana hekima.+ Methali 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+ Ezekieli 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nawe utamwambia Tiro,“ ‘Wewe unayekaa katika malango ya bahari,+ mwanamke mfanya-biashara wa vikundi vya watu wa visiwa vingi,+ Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Ee Tiro, wewe mwenyewe umesema, ‘Mimi ni mkamilifu wa uzuri.’+
3 nawe utamwambia Tiro,“ ‘Wewe unayekaa katika malango ya bahari,+ mwanamke mfanya-biashara wa vikundi vya watu wa visiwa vingi,+ Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Ee Tiro, wewe mwenyewe umesema, ‘Mimi ni mkamilifu wa uzuri.’+