Methali 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+ Isaya 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri hili,+ kutia unajisi kiburi cha uzuri wote,+ kuwatendea kwa dharau watu wote wenye vyeo wa dunia.+ Ezekieli 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mwana wa binadamu, mfanyie mfalme wa Tiro wimbo wa huzuni,+ nawe umwambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “ ‘ “Unafunga kielelezo kwa muhuri, kinachojaa hekima+ na kikamilifu katika uzuri.+
2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+
9 Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri hili,+ kutia unajisi kiburi cha uzuri wote,+ kuwatendea kwa dharau watu wote wenye vyeo wa dunia.+
12 “Mwana wa binadamu, mfanyie mfalme wa Tiro wimbo wa huzuni,+ nawe umwambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “ ‘ “Unafunga kielelezo kwa muhuri, kinachojaa hekima+ na kikamilifu katika uzuri.+