Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Isaya 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana yeye amesema, ‘Kwa nguvu za mkono wangu hakika nitatenda,+ na kwa hekima yangu, kwa maana nina uelewaji; nami nitaiondoa mipaka ya vikundi vya watu,+ nami hakika nitavipora vitu vyao vilivyowekwa akiba,+ nami nitawashusha wakaaji kama mwenye nguvu.+

  • Yeremia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+

  • Ezekieli 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 tazama! wewe una hekima kuliko Danieli.+ Hakuna siri ambazo zimelingana na wewe.+

  • Zekaria 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Hamathi+ litapakana naye pia; Tiro+ na Sidoni,+ kwa maana ana hekima sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki