Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+

  • Ezekieli 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema hivi kuwahusu wana wa Amoni, ‘Sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kwa sababu umesema Aha! Juu ya patakatifu pangu, kwa sababu pametiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli, kwa sababu imefanywa kuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda, kwa sababu wameenda uhamishoni,+

  • Ezekieli 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ongea, nawe useme, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama niko juu yako, Ee Farao, mfalme wa Misri,+ yule mnyama mkubwa wa baharini+ anayelala akiwa amejinyoosha katikati ya mifereji yake ya Nile,+ ambaye amesema, ‘Mto wangu wa Nile ni wangu, na mimi—mimi nimeufanya kwa ajili yangu mwenyewe.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki