-
Ezekieli 31:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “ ‘Umefanana na nani hivyo katika utukufu+ na ukuu katikati ya miti ya Edeni?+ Lakini hakika utashushwa pamoja na miti ya Edeni mpaka nchi iliyo chini.+ Utalala chini pamoja na wale waliouawa kwa upanga katikati ya watu ambao hawajatahiriwa. Huyu ni Farao na umati wake wote,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
-