27 Katika siku ile Yehova,+ akiwa na upanga wake mgumu na wenye nguvu,+ ataelekeza uangalifu wake juu ya Lewiathani,+ yule nyoka anayenyiririka,+ juu ya Lewiathani, yule nyoka mpotovu, na hakika yeye atamuua huyo mnyama mkubwa wa baharini+ aliye ndani ya bahari.