Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wewe mwenyewe uliichochea bahari kwa nguvu zako mwenyewe;+

      Ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa baharini katika maji.+

  • Isaya 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Katika siku ile Yehova,+ akiwa na upanga wake mgumu na wenye nguvu,+ ataelekeza uangalifu wake juu ya Lewiathani,*+ yule nyoka anayenyiririka,+ juu ya Lewiathani, yule nyoka mpotovu, na hakika yeye atamuua huyo mnyama mkubwa wa baharini+ aliye ndani ya bahari.

  • Isaya 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Wamisri ni ubatili mtupu, nao watasaidia bure tu.+ Kwa hiyo nimemwita huyu: “Rahabu+—kazi yao ni kuketi tuli.”

  • Isaya 51:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki