Zaburi 89:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wewe mwenyewe umemponda Rahabu,+ kama mtu aliyeuawa.+Kwa mkono wa nguvu zako umewatawanya adui zako.+ Isaya 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Ni nani aliyeliamini jambo ambalo tumesikia?+ Na kwa habari ya mkono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+ Luka 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+
10 Wewe mwenyewe umemponda Rahabu,+ kama mtu aliyeuawa.+Kwa mkono wa nguvu zako umewatawanya adui zako.+
53 Ni nani aliyeliamini jambo ambalo tumesikia?+ Na kwa habari ya mkono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+
51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+