Yohana 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 hata kwamba neno la nabii Isaya likatimizwa ambalo alisema: “Yehova, ni nani aliyeliamini jambo ambalo tumesikia?+ Na kwa habari ya mkono wa Yehova, umefunuliwa kwa nani?”+ Waroma 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, si wote waliotii habari njema.+ Kwa maana Isaya anasema: “Yehova, ni nani aliyeliamini jambo ambalo limesikiwa kutoka kwetu?”+
38 hata kwamba neno la nabii Isaya likatimizwa ambalo alisema: “Yehova, ni nani aliyeliamini jambo ambalo tumesikia?+ Na kwa habari ya mkono wa Yehova, umefunuliwa kwa nani?”+
16 Hata hivyo, si wote waliotii habari njema.+ Kwa maana Isaya anasema: “Yehova, ni nani aliyeliamini jambo ambalo limesikiwa kutoka kwetu?”+