2 Kwa maana sisi pia tumetangaziwa habari njema,+ kama wao pia walivyotangaziwa;+ lakini neno lililosikiwa halikuwa na faida kwao,+ kwa sababu hawakuunganishwa kwa imani+ pamoja na wale waliosikia.+
17 Kwa maana ni wakati uliowekwa wa hukumu kuanza na nyumba ya Mungu.+ Sasa ikiwa inaanza na sisi kwanza,+ basi mwisho wa wale wasioitii habari njema ya Mungu utakuwaje?+