Yohana 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. Waroma 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ghadhabu+ ya Mungu inafunuliwa kutoka mbinguni juu ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu+ ambao wanaikandamiza kweli+ katika njia isiyo ya uadilifu,+
19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
18 Kwa maana ghadhabu+ ya Mungu inafunuliwa kutoka mbinguni juu ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu+ ambao wanaikandamiza kweli+ katika njia isiyo ya uadilifu,+