Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+

  • Nehemia 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+

  • Zaburi 78:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliipasua bahari, ili awaruhusu kuvuka,+

      Naye akayafanya maji yasimame kama bwawa.+

  • Zaburi 106:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo akaikemea Bahari Nyekundu, nayo ikakauka hatua kwa hatua;+

      Naye akawatembeza kupita katika kilindi cha maji kana kwamba ni nyikani;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki