Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+

  • Yoshua 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana tumesikia jinsi ambavyo Yehova aliyakausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mlipotoka Misri,+ na yale mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ ambao mliwaangamiza.+

  • Nehemia 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+

  • Zaburi 66:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ameibadili bahari ikawa nchi kavu;+

      Waliuvuka mto kwa miguu.+

      Huko tukaanza kumshangilia.+

  • Zaburi 78:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliipasua bahari, ili awaruhusu kuvuka,+

      Naye akayafanya maji yasimame kama bwawa.+

  • Zaburi 136:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yule anayekata Bahari Nyekundu sehemu-sehemu:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki