Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+

  • Zaburi 66:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ameibadili bahari ikawa nchi kavu;+

      Waliuvuka mto kwa miguu.+

      Huko tukaanza kumshangilia.+

  • Zaburi 136:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yule anayekata Bahari Nyekundu sehemu-sehemu:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Isaya 63:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+

  • 1 Wakorintho 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi sitaki mkose kujua, akina ndugu, kwamba mababu zetu walikuwa wote chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari +

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki