Kutoka 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+ Zaburi 66:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ameibadili bahari ikawa nchi kavu;+Waliuvuka mto kwa miguu.+Huko tukaanza kumshangilia.+ Zaburi 136:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yule anayekata Bahari Nyekundu sehemu-sehemu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Isaya 63:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+ 1 Wakorintho 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi sitaki mkose kujua, akina ndugu, kwamba mababu zetu walikuwa wote chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari +
21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+
13 Yule anayekata Bahari Nyekundu sehemu-sehemu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+
10 Basi sitaki mkose kujua, akina ndugu, kwamba mababu zetu walikuwa wote chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari +