Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana tumesikia jinsi ambavyo Yehova aliyakausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mlipotoka Misri,+ na yale mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ ambao mliwaangamiza.+

  • Zaburi 66:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ameibadili bahari ikawa nchi kavu;+

      Waliuvuka mto kwa miguu.+

      Huko tukaanza kumshangilia.+

  • Zaburi 106:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo akaikemea Bahari Nyekundu, nayo ikakauka hatua kwa hatua;+

      Naye akawatembeza kupita katika kilindi cha maji kana kwamba ni nyikani;+

  • Zaburi 114:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Bahari iliona na kukimbia;+

      Yordani nao ulianza kurudi nyuma.+

  • Isaya 51:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki