34 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Usimwogope,+ kwa maana nitamtia yeye na watu wake wote na nchi yake mkononi mwako;+ nawe utamtendea kama vile ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.”+
3 Basi Yehova Mungu wetu akamtia mkononi mwetu pia Ogu mfalme wa Bashani pamoja na watu wake wote, nasi tukaendelea kumpiga mpaka akawa hana mwokokaji aliyebaki.+
10 na yote ambayo aliwatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ mfalme wa Heshboni na Ogu+ mfalme wa Bashani, aliyekuwa katika Ashtarothi.+