Hesabu 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Israeli akatuma wajumbe kwa Sihoni+ mfalme wa Waamori, na kusema: Hesabu 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+ Kumbukumbu la Torati 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nasi tukateka majiji yake yote wakati huo na kuangamiza+ kila jiji, wanaume na wanawake na watoto wadogo. Hatukuacha mwokokaji yeyote.
24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
34 Nasi tukateka majiji yake yote wakati huo na kuangamiza+ kila jiji, wanaume na wanawake na watoto wadogo. Hatukuacha mwokokaji yeyote.