Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekaa katika Heshboni,+ akitawala kutoka Aroeri,+ lililokuwa kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na katikati ya bonde la mto, na nusu ya Gileadi hadi bonde la mto la Yaboki,+ mpaka wa wana wa Amoni,

  • Waamuzi 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akamtia Sihoni na watu wake wote mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga na Israeli wakaimiliki nchi yote ya Waamori waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.+

  • Zaburi 135:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye aliyepiga mataifa mengi+

      Na kuua wafalme wenye nguvu,+

  • Zaburi 136:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naam, Sihoni mfalme wa Waamori:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Amosi 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Lakini mimi, nilikuwa nimemwangamiza Mwamori+ kwa sababu yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, na ambaye alikuwa na nguvu kama miti mikubwa;+ nami nikaangamiza matunda yake juu na mizizi yake chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki