Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Israeli akatuma wajumbe kwa Sihoni+ mfalme wa Waamori, na kusema:

  • Kumbukumbu la Torati 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 baada ya kumshinda Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa kule Heshboni, na Ogu+ mfalme wa Bashani, aliyekuwa akikaa kule Ashtarothi,+ katika Edrei.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe mkaja mahali hapa, na Sihoni mfalme wa Heshboni+ na Ogu+ mfalme wa Bashani wakatoka kukutana nasi katika pigano, lakini tukawashinda.+

  • Yoshua 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana tumesikia jinsi ambavyo Yehova aliyakausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mlipotoka Misri,+ na yale mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ ambao mliwaangamiza.+

  • Waamuzi 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akamtia Sihoni na watu wake wote mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga na Israeli wakaimiliki nchi yote ya Waamori waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.+

  • Zaburi 135:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naam, Sihoni mfame wa Waamori+

      Na Ogu mfalme wa Bashani+

      Na falme zote za Kanaani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki