Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 ndipo Yehova Mungu wetu alipomtia mkononi mwetu,+ hivi kwamba tukamshinda yeye+ na wanawe na watu wake wote.

  • Yoshua 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Musa akalipatia zawadi kabila la wana wa Rubeni kulingana na familia zao,

  • Yoshua 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 na majiji yote ya nchi tambarare ya juu+ na ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni,+ na ambaye Musa alimpiga na kumuua,+ pamoja na wakuu wa Midiani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba,+ watawala wadogo wa Sihoni, waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.

  • Zaburi 135:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naam, Sihoni mfame wa Waamori+

      Na Ogu mfalme wa Bashani+

      Na falme zote za Kanaani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki