Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na hakika Yehova atawatendea wao kama alivyowatendea Sihoni+ na Ogu,+ wafalme wa Waamori, na nchi yao, alipowaangamiza hao.+

  • Waamuzi 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akamtia Sihoni na watu wake wote mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga na Israeli wakaimiliki nchi yote ya Waamori waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.+

  • Zaburi 136:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naam, Sihoni mfalme wa Waamori:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki