24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+
21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akamtia Sihoni na watu wake wote mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga na Israeli wakaimiliki nchi yote ya Waamori waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.+