Hesabu 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Israeli akayachukua majiji hayo yote, naye Israeli akaanza kukaa katika majiji yote ya Waamori,+ katika Heshboni+ na miji yake yote ya kandokando. Zaburi 135:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeye aliyepiga mataifa mengi+Na kuua wafalme wenye nguvu,+ Zaburi 136:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ambaye aliua wafalme wenye fahari:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
25 Basi Israeli akayachukua majiji hayo yote, naye Israeli akaanza kukaa katika majiji yote ya Waamori,+ katika Heshboni+ na miji yake yote ya kandokando.
18 Na ambaye aliua wafalme wenye fahari:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+