19 “‘Baada ya hayo Israeli wakatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori, mfalme wa Heshboni,+ na Israeli wakamwambia: “Tafadhali, tuache tupite katika nchi yako kwenda mahali pangu mwenyewe.”+
4 Shingo yako+ ni kama mnara wa pembe ya tembo. Macho yako+ ni kama vidimbwi katika Heshboni,+ kando ya lango la Bath-rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni, ambao unaelekea Damasko.