Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 31:2

Marejeo

  • +Kut 7:7; Kum 34:7; Mdo 7:23
  • +Hes 27:17
  • +Hes 20:12; Kum 3:27; 4:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2006, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 31

Kumbukumbu la Torati 31:3

Marejeo

  • +Kum 9:3
  • +Zb 44:2
  • +Hes 27:18; Kum 3:28; Yos 1:2; 4:14; Mdo 7:45

Kumbukumbu la Torati 31:4

Marejeo

  • +Hes 21:24
  • +Hes 21:35
  • +Kut 23:23; Kum 29:7

Kumbukumbu la Torati 31:5

Marejeo

  • +Kum 3:21; 7:2
  • +Hes 33:52; Kum 7:24; 20:16

Kumbukumbu la Torati 31:6

Marejeo

  • +Yos 1:6; Zb 27:14; 118:6
  • +Hes 14:9; Kum 1:29; 7:18; Zb 56:3
  • +Kum 4:31; Yos 1:5; Ebr 13:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1998, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 8/15 10-11

Kumbukumbu la Torati 31:7

Marejeo

  • +Yos 10:25; Efe 6:10
  • +Kum 1:38

Kumbukumbu la Torati 31:8

Marejeo

  • +Kut 33:14
  • +Yos 1:9

Kumbukumbu la Torati 31:9

Marejeo

  • +Kut 34:27; Da 9:13
  • +Kum 17:18
  • +Hes 4:15; Kum 31:25

Kumbukumbu la Torati 31:10

Marejeo

  • +Kum 15:1
  • +Law 23:34

Kumbukumbu la Torati 31:11

Marejeo

  • +Kut 23:17; Kum 16:16
  • +Kum 12:5
  • +Ne 8:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2007, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/15 20

Kumbukumbu la Torati 31:12

Marejeo

  • +Kum 4:10; Ebr 10:25
  • +Kum 29:29
  • +Zb 34:11; Met 8:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    4/15/2010, uku. 3

    9/15/2004, uku. 27

    3/15/2000, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 4/15 3; w04 9/15 27; w00 3/15 17

Kumbukumbu la Torati 31:13

Marejeo

  • +Kum 6:7; 11:2; Zb 78:6; Met 22:6; Efe 6:4
  • +Kum 30:16

Kumbukumbu la Torati 31:14

Marejeo

  • +Hes 27:13; Kum 31:2
  • +Kum 3:28
  • +Kut 40:2

Kumbukumbu la Torati 31:15

Marejeo

  • +Kut 33:9; 40:38; Zb 99:7

Kumbukumbu la Torati 31:16

Marejeo

  • +2Sa 7:12; Yoh 3:13
  • +Kut 32:6
  • +Kut 34:15; Amu 2:17; Zb 106:37, 39; Yer 3:1; Eze 16:15
  • +Kum 32:15; Amu 2:12; 1Fa 11:33
  • +Amu 2:20; Yer 31:32; Ebr 8:9

Kumbukumbu la Torati 31:17

Marejeo

  • +Kum 29:20; Zb 74:1
  • +1Nya 28:9; 2Nya 15:2; 24:20
  • +Kum 32:20; Ayu 34:29; Zb 27:9; 104:29; Eze 39:23
  • +Kum 31:21; 32:23; Ne 9:27; Met 1:27
  • +Amu 6:13

Kumbukumbu la Torati 31:18

Marejeo

  • +Isa 8:17; 59:2

Kumbukumbu la Torati 31:19

Marejeo

  • +Kum 31:30; 32:44; Kol 3:16
  • +Kum 4:9; 11:19
  • +Kum 31:21

Kumbukumbu la Torati 31:20

Marejeo

  • +Mwa 15:18; Kum 6:10
  • +Kut 3:8; Hes 13:27; Eze 20:6
  • +Kum 8:12; Ne 9:25
  • +Kum 32:15
  • +Kum 32:16
  • +Kut 24:7; Kum 29:1; Ne 9:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, kur. 171-172

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 171-172

Kumbukumbu la Torati 31:21

Marejeo

  • +Kum 28:59; 29:22
  • +Mwa 8:21; Kut 16:4; 1Nya 28:9; Zb 139:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Kutoa Sababu, kur. 171-172

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 171-172

Kumbukumbu la Torati 31:22

Marejeo

  • +Kum 31:19

Kumbukumbu la Torati 31:23

Marejeo

  • +Hes 27:18; Kum 31:14
  • +Yos 1:6; Zb 27:14; 118:6
  • +Kum 1:38; 3:28

Kumbukumbu la Torati 31:24

Marejeo

  • +Kut 34:27; Kum 31:9

Kumbukumbu la Torati 31:25

Marejeo

  • +Hes 4:15; 1Nya 15:12

Kumbukumbu la Torati 31:26

Marejeo

  • +Kum 17:18; 31:9; 2Fa 22:8; 2Nya 34:14
  • +1Fa 8:9; Ebr 9:4
  • +Kum 31:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, uku. 28

Kumbukumbu la Torati 31:27

Marejeo

  • +Kum 9:24; 32:20; Yos 1:18; Ne 9:26
  • +Kut 32:9; Kum 9:6; Zb 75:5; Met 29:1; Isa 48:4
  • +Kum 9:24; Zb 78:8

Kumbukumbu la Torati 31:28

Marejeo

  • +Kum 29:10
  • +Kum 4:26; 30:19; 32:1

Kumbukumbu la Torati 31:29

Marejeo

  • +Kum 32:5; Amu 2:19; Ho. 9:9
  • +Kum 28:15
  • +Yer 44:8

Kumbukumbu la Torati 31:30

Marejeo

  • +Kum 32:44

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 31:2Kut 7:7; Kum 34:7; Mdo 7:23
Kum. 31:2Hes 27:17
Kum. 31:2Hes 20:12; Kum 3:27; 4:21
Kum. 31:3Kum 9:3
Kum. 31:3Zb 44:2
Kum. 31:3Hes 27:18; Kum 3:28; Yos 1:2; 4:14; Mdo 7:45
Kum. 31:4Hes 21:24
Kum. 31:4Hes 21:35
Kum. 31:4Kut 23:23; Kum 29:7
Kum. 31:5Kum 3:21; 7:2
Kum. 31:5Hes 33:52; Kum 7:24; 20:16
Kum. 31:6Yos 1:6; Zb 27:14; 118:6
Kum. 31:6Hes 14:9; Kum 1:29; 7:18; Zb 56:3
Kum. 31:6Kum 4:31; Yos 1:5; Ebr 13:5
Kum. 31:7Yos 10:25; Efe 6:10
Kum. 31:7Kum 1:38
Kum. 31:8Kut 33:14
Kum. 31:8Yos 1:9
Kum. 31:9Kut 34:27; Da 9:13
Kum. 31:9Kum 17:18
Kum. 31:9Hes 4:15; Kum 31:25
Kum. 31:10Kum 15:1
Kum. 31:10Law 23:34
Kum. 31:11Kut 23:17; Kum 16:16
Kum. 31:11Kum 12:5
Kum. 31:11Ne 8:7
Kum. 31:12Kum 4:10; Ebr 10:25
Kum. 31:12Kum 29:29
Kum. 31:12Zb 34:11; Met 8:13
Kum. 31:13Kum 6:7; 11:2; Zb 78:6; Met 22:6; Efe 6:4
Kum. 31:13Kum 30:16
Kum. 31:14Hes 27:13; Kum 31:2
Kum. 31:14Kum 3:28
Kum. 31:14Kut 40:2
Kum. 31:15Kut 33:9; 40:38; Zb 99:7
Kum. 31:162Sa 7:12; Yoh 3:13
Kum. 31:16Kut 32:6
Kum. 31:16Kut 34:15; Amu 2:17; Zb 106:37, 39; Yer 3:1; Eze 16:15
Kum. 31:16Kum 32:15; Amu 2:12; 1Fa 11:33
Kum. 31:16Amu 2:20; Yer 31:32; Ebr 8:9
Kum. 31:17Kum 29:20; Zb 74:1
Kum. 31:171Nya 28:9; 2Nya 15:2; 24:20
Kum. 31:17Kum 32:20; Ayu 34:29; Zb 27:9; 104:29; Eze 39:23
Kum. 31:17Kum 31:21; 32:23; Ne 9:27; Met 1:27
Kum. 31:17Amu 6:13
Kum. 31:18Isa 8:17; 59:2
Kum. 31:19Kum 31:30; 32:44; Kol 3:16
Kum. 31:19Kum 4:9; 11:19
Kum. 31:19Kum 31:21
Kum. 31:20Mwa 15:18; Kum 6:10
Kum. 31:20Kut 3:8; Hes 13:27; Eze 20:6
Kum. 31:20Kum 8:12; Ne 9:25
Kum. 31:20Kum 32:15
Kum. 31:20Kum 32:16
Kum. 31:20Kut 24:7; Kum 29:1; Ne 9:26
Kum. 31:21Kum 28:59; 29:22
Kum. 31:21Mwa 8:21; Kut 16:4; 1Nya 28:9; Zb 139:2
Kum. 31:22Kum 31:19
Kum. 31:23Hes 27:18; Kum 31:14
Kum. 31:23Yos 1:6; Zb 27:14; 118:6
Kum. 31:23Kum 1:38; 3:28
Kum. 31:24Kut 34:27; Kum 31:9
Kum. 31:25Hes 4:15; 1Nya 15:12
Kum. 31:26Kum 17:18; 31:9; 2Fa 22:8; 2Nya 34:14
Kum. 31:261Fa 8:9; Ebr 9:4
Kum. 31:26Kum 31:19
Kum. 31:27Kum 9:24; 32:20; Yos 1:18; Ne 9:26
Kum. 31:27Kut 32:9; Kum 9:6; Zb 75:5; Met 29:1; Isa 48:4
Kum. 31:27Kum 9:24; Zb 78:8
Kum. 31:28Kum 29:10
Kum. 31:28Kum 4:26; 30:19; 32:1
Kum. 31:29Kum 32:5; Amu 2:19; Ho. 9:9
Kum. 31:29Kum 28:15
Kum. 31:29Yer 44:8
Kum. 31:30Kum 32:44
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 31:1-30

Kumbukumbu la Torati

31 Ndipo Musa akaenda na kusema na Israeli wote maneno haya 2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+ 3 Yehova Mungu wako ndiye anayevuka mbele yako.+ Yeye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yako, na wewe lazima uyafukuzie mbali.+ Yoshua ndiye anayevuka mbele yako,+ kama alivyosema Yehova. 4 Na hakika Yehova atawatendea wao kama alivyowatendea Sihoni+ na Ogu,+ wafalme wa Waamori, na nchi yao, alipowaangamiza hao.+ 5 Na Yehova amewatia mkononi mwenu,+ nanyi lazima mwatendee kulingana na amri yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ 6 Iweni hodari na wenye nguvu.+ Usiogope wala kushtuka mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wako ndiye anayepiga mwendo pamoja nawe. Hatakutupa wala kukuacha kabisa.”+

7 Na Musa akamwita Yoshua na kumwambia mbele ya macho ya Israeli wote: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza watu hawa katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zao kwamba atawapa, na wewe mwenyewe utawapa iwe urithi.+ 8 Na Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako. Yeye mwenyewe ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha kabisa. Usiogope wala usiingiwe na hofu.”+

9 Ndipo Musa akaandika sheria hii+ na kuwapa makuhani wana wa Lawi,+ wachukuaji wa sanduku la agano la Yehova,+ na kuwapa wanaume wote wazee wa Israeli. 10 Na Musa akawaamuru, na kusema: “Mwishoni mwa kila miaka saba, katika wakati uliowekwa wa mwaka wa kuachilia huru,+ katika sherehe ya vibanda,+ 11 wakati ambapo Israeli wote watakuja kuuona uso wa Yehova+ Mungu wako katika mahali atakapopachagua,+ utaisoma sheria hii mbele ya Israeli wote masikioni mwao.+ 12 Wakutanishe watu,+ wanaume na wanawake na watoto wadogo na mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako, ili wasikilize na ili wajifunze,+ kwa maana ni lazima wamwogope Yehova Mungu+ wenu na kuwa waangalifu kuyatimiza maneno yote ya sheria hii. 13 Na wana wao ambao hawakujua wanapaswa kusikiliza,+ nao lazima wajifunze kumwogopa Yehova Mungu wenu siku zote ambazo ninyi mnakaa juu ya nchi ambayo mnavuka Yordani ili kuimiliki.”+

14 Baada ya jambo hilo Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Siku za kufa kwako zimekaribia.+ Mwite Yoshua, na usimame katika hema la mkutano, ili nimpe utume.”+ Basi Musa na Yoshua wakaenda na kusimama katika hema la mkutano.+ 15 Ndipo Yehova akaonekana katika hema katika nguzo ya wingu, na hiyo nguzo ya wingu ikaanza kusimama kwenye mlango wa hema.+

16 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Unalala pamoja na mababu zako;+ na hakika watu hawa watainuka+ na kufanya uasherati na miungu migeni ya nchi wanayoiendea,+ kati yao, nao hakika wataniacha+ na kuvunja agano langu ambalo nimefanya pamoja nao.+ 17 Ndipo hasira yangu itakapowaka kwelikweli juu yao katika siku hiyo,+ nami hakika nitawaacha+ na kuuficha uso wangu mbali nao,+ nao watakuwa kitu cha kuteketezwa; na misiba mingi na taabu zitakuja juu yao,+ nao watalazimika kusema siku hiyo, ‘Je, misiba hii haikuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko katikati yetu?’+ 18 Mimi nami, nitauficha kabisa uso wangu katika siku hiyo kwa sababu ya ubaya wote ambao wameutenda, kwa sababu wameigeukia miungu mingine.+

19 “Na sasa jiandikieni wenyewe wimbo huu+ na kuwafundisha wana wa Israeli.+ Uwekeni katika vinywa vyao ili wimbo huu upate kuwa shahidi wangu juu ya wana wa Israeli.+ 20 Kwa maana nitawaleta katika nchi ambayo nimewaapia mababu zao,+ inayotiririka maziwa na asali,+ nao hakika watakula+ na kushiba na kunenepa+ na kuigeukia miungu mingine,+ nao kwa kweli wataitumikia na kunitendea bila heshima na kulivunja agano langu.+ 21 Na itatukia kwamba wakati ambapo misiba mingi na taabu zitawajia,+ wimbo huu lazima pia utashuhudia mbele yao, kwa sababu haupaswi kusahauliwa katika vinywa vya uzao wao, kwa maana najua vema mwelekeo wao+ wanaousitawisha leo kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaapia.”

22 Kwa hiyo Musa akaandika wimbo huu katika siku hiyo, ili awafundishe wana wa Israeli.+

23 Naye akampa utume Yoshua mwana wa Nuni+ na kusema: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza wana wa Israeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ na mimi mwenyewe nitaendelea kuwa pamoja nawe.”

24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+ 25 Musa akaanza kuwaamuru Walawi, wachukuaji wa sanduku la agano la Yehova,+ na kusema: 26 “Mkichukue kitabu hiki cha sheria,+ nanyi mkiweke kando ya sanduku+ la agano la Yehova Mungu wenu, nacho kitashuhudia hapo juu yenu.+ 27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu! 28 Nikutanishie wanaume wote wazee wa makabila yenu na maofisa wenu,+ na acheni niseme masikioni mwao maneno haya, na acheni nichukue mbingu na dunia ziwe mashahidi dhidi yao.+ 29 Kwa maana najua vema kwamba baada ya kifo changu hakika mtatenda kwa uharibifu,+ nanyi hakika mtageuka kando kutoka katika njia ambayo nimewaamuru ninyi; na msiba+ lazima utawaangukia mwishoni mwa siku hizo, kwa sababu mtafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova ili kumtia uchungu kwa kazi za mikono yenu.”+

30 Naye Musa akasema masikioni mwa kutaniko lote la Israeli maneno ya wimbo huu mpaka yakaisha:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki