Yoshua 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa maana ni wewe utakayewafanya watu hawa wairithi+ ile nchi ambayo niliwaapia mababu zao kuwa nitawapa.+ Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+Naam, mtumaini Yehova.+ Zaburi 118:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova yuko upande wangu; sitaogopa.+Mtu wa udongo anaweza kunitenda nini?+
6 Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa maana ni wewe utakayewafanya watu hawa wairithi+ ile nchi ambayo niliwaapia mababu zao kuwa nitawapa.+