Zaburi 62:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli mngojee Mungu kwa kimya, Ee nafsi yangu,+Kwa maana tumaini langu ni kutoka kwake.+ Zaburi 130:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nimetumainia, Ee Yehova, nafsi yangu imetumainia,+Nalo neno lake nimelingojea.+ Waroma 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mungu anayetoa tumaini na awajaze ninyi shangwe yote na amani kwa kuamini kwenu, ili mzidi katika tumaini kwa nguvu za roho takatifu.+
13 Mungu anayetoa tumaini na awajaze ninyi shangwe yote na amani kwa kuamini kwenu, ili mzidi katika tumaini kwa nguvu za roho takatifu.+