8 Ndiyo, kwa ajili ya njia ya hukumu zako, Ee Yehova, tumekutumaini wewe.+ Tamaa ya nafsi imekuwa kwa ajili ya jina lako na kwa ajili ya ukumbusho wako.+
25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.