Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+

  • Zaburi 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+

      Naam, mtumaini Yehova.+

  • Zaburi 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nafsi yetu imekuwa ikimtarajia Yehova.+

      Yeye ni msaidizi wetu na ngao yetu.+

  • Zaburi 40:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+

      Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+

  • Isaya 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitaendelea kumtarajia Yehova,+ ambaye anauficha uso wake kutoka kwa nyumba ya Yakobo,+ nami nitamtumaini yeye.+

  • Isaya 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndiyo, kwa ajili ya njia ya hukumu zako, Ee Yehova, tumekutumaini wewe.+ Tamaa ya nafsi imekuwa kwa ajili ya jina lako na kwa ajili ya ukumbusho wako.+

  • Luka 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki