Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Zaburi 116:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana yeye amenitegea sikio lake,+Nami nitaita siku zangu zote.+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+