Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.

      Utautayarisha moyo wao.+

      Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+

  • Zaburi 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,

      Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+

      Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+

      Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+

  • Zaburi 94:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yule anayelipanda sikio, je, hawezi kusikia?+

      Au Yule anayelifanya jicho, je, hawezi kutazama?+

  • Isaya 59:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Tazama! Mkono wa Yehova haujawa mfupi mno kwamba usiweze kuokoa,+ wala sikio lake halijawa zito mno kwamba lisiweze kusikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki