Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+ Zaburi 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+ Zaburi 94:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yule anayelipanda sikio, je, hawezi kusikia?+Au Yule anayelifanya jicho, je, hawezi kutazama?+ Isaya 59:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Tazama! Mkono wa Yehova haujawa mfupi mno kwamba usiweze kuokoa,+ wala sikio lake halijawa zito mno kwamba lisiweze kusikia.+
17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+
6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+
59 Tazama! Mkono wa Yehova haujawa mfupi mno kwamba usiweze kuokoa,+ wala sikio lake halijawa zito mno kwamba lisiweze kusikia.+