Zaburi 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Utege sikio, Ee Mungu, kwa sala yangu;+Wala usijifiche kutoka kwa ombi langu la kutaka kibali.+ Zaburi 71:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unikomboe kwa uadilifu wako na kuniokoa.+Tega sikio lako kwangu na uniokoe.+ Zaburi 116:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Ninajawa na upendo, kwa sababu Yehova husikia+Sauti yangu, kusihi kwangu.+