Zaburi 144:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+ 1 Wakorintho 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.
2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+
13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.