6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+
44 na wale wengine wafanye hivyo, wengine wakiwa juu ya mbao na wengine juu ya vitu fulani kutoka katika mashua. Na hivyo ikawa kwamba wote wakafika salama kwenye nchi kavu.+