Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+

  • Isaya 40:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye anampa nguvu mtu aliyechoka;+ naye huzijaza nguvu kamili kwa mtu asiye na nguvu zenye msukumo.+

  • Matendo 27:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 na wale wengine wafanye hivyo, wengine wakiwa juu ya mbao na wengine juu ya vitu fulani kutoka katika mashua. Na hivyo ikawa kwamba wote wakafika salama kwenye nchi kavu.+

  • Wafilipi 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yeye anayenipa nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki