1 Samweli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Daudi alifadhaika sana, kwa sababu wanaume wake walitaka kumpiga mawe, kwa maana wanaume wote walikuwa na uchungu mwingi sana kwa kuwapoteza wana na mabinti wao. Lakini Daudi akajitia nguvu kwa msaada wa Yehova Mungu wake.+ 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 30:6 Mnara wa Mlinzi (Funzo),4/2022, uku. 2
6 Daudi alifadhaika sana, kwa sababu wanaume wake walitaka kumpiga mawe, kwa maana wanaume wote walikuwa na uchungu mwingi sana kwa kuwapoteza wana na mabinti wao. Lakini Daudi akajitia nguvu kwa msaada wa Yehova Mungu wake.+