1 Samweli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+ 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 30:6 Mnara wa Mlinzi (Funzo),4/2022, uku. 2
6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+