Kutoka 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwishowe Musa akamlilia Yehova, na kusema: “Nitafanya nini na watu hawa? Bado muda kidogo nao watanipiga kwa mawe!”+ Hesabu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, kusanyiko lote likasema wapigwe kwa mawe.+ Na utukufu wa Yehova ukaonekana juu ya hema la mkutano machoni pa wana wote wa Israeli.+
4 Mwishowe Musa akamlilia Yehova, na kusema: “Nitafanya nini na watu hawa? Bado muda kidogo nao watanipiga kwa mawe!”+
10 Hata hivyo, kusanyiko lote likasema wapigwe kwa mawe.+ Na utukufu wa Yehova ukaonekana juu ya hema la mkutano machoni pa wana wote wa Israeli.+