Zaburi 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+ Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Zaburi 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+Ee nisiaibike kamwe.+Niokoe katika uadilifu wako.+ Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+ Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ Zaburi 43:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu na kuwa ndiye Mungu wangu.+ Zaburi 56:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Katika umoja na Mungu nitalisifu neno lake.+Nimeliweka tegemeo langu kwa Mungu; Sitaogopa.+Mwenye mwili wa nyama anaweza kunitenda nini?+ Zaburi 143:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nimezikumbuka siku za zamani za kale;+Nimetafakari juu ya utendaji wako wote;+Kwa kupenda niliendelea kuhangaikia kazi ya mikono yako mwenyewe.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Habakuki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+ Luka 22:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ndipo malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.+
6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+
9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+
5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu na kuwa ndiye Mungu wangu.+
4 Katika umoja na Mungu nitalisifu neno lake.+Nimeliweka tegemeo langu kwa Mungu; Sitaogopa.+Mwenye mwili wa nyama anaweza kunitenda nini?+
5 Nimezikumbuka siku za zamani za kale;+Nimetafakari juu ya utendaji wako wote;+Kwa kupenda niliendelea kuhangaikia kazi ya mikono yako mwenyewe.+
18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+