Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,

      Nami niliendelea kumlilia Mungu wangu kwa ajili ya msaada.+

      Kutoka katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+

      Nacho kilio changu cha msaada mbele zake sasa kikafika masikioni mwake.+

  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+

      Nitamwogopa nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nitamhofu nani?+

  • Zaburi 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+

      Ee nisiaibike kamwe.+

      Niokoe katika uadilifu wako.+

  • Zaburi 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+

      Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+

  • Zaburi 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+

      Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+

  • Zaburi 43:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+

      Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?

      Mngojee Mungu,+

      Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu na kuwa ndiye Mungu wangu.+

  • Zaburi 56:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Katika umoja na Mungu nitalisifu neno lake.+

      Nimeliweka tegemeo langu kwa Mungu; Sitaogopa.+

      Mwenye mwili wa nyama anaweza kunitenda nini?+

  • Zaburi 143:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nimezikumbuka siku za zamani za kale;+

      Nimetafakari juu ya utendaji wako wote;+

      Kwa kupenda niliendelea kuhangaikia kazi ya mikono yako mwenyewe.+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

  • Habakuki 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+

  • Luka 22:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ndipo malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki