Zaburi 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+
36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+