Mwanzo 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Abrahamu akajibu akasema: “Ni kwa sababu nilisema moyoni mwangu, ‘Bila shaka mahali hapa hawamwogopi Mungu.+ Nao hakika wataniua kwa sababu ya mke wangu.’+ Waroma 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Hakuna kumwogopa Mungu mbele ya macho yao.”+
11 Abrahamu akajibu akasema: “Ni kwa sababu nilisema moyoni mwangu, ‘Bila shaka mahali hapa hawamwogopi Mungu.+ Nao hakika wataniua kwa sababu ya mke wangu.’+