Mwanzo 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Abrahamu akajibu akasema: “Ni kwa sababu nilisema moyoni mwangu, ‘Bila shaka mahali hapa hawamwogopi Mungu.+ Nao hakika wataniua kwa sababu ya mke wangu.’+ Zaburi 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+ Methali 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+
11 Abrahamu akajibu akasema: “Ni kwa sababu nilisema moyoni mwangu, ‘Bila shaka mahali hapa hawamwogopi Mungu.+ Nao hakika wataniua kwa sababu ya mke wangu.’+
36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+
112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+
6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+