Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+

      Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+

  • Zaburi 40:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+

      Na sheria yako imo ndani yangu.+

  • Zaburi 119:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  16 Nitazipenda sheria zako.+

      Sitalisahau neno lako.+

  • Methali 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ikiwa utaendelea kuutafuta kama fedha,+ na kuendelea kuutafuta kama hazina zilizofichika,+

  • Waroma 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki