Zaburi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+ Zaburi 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+Na sheria yako imo ndani yangu.+ Zaburi 119:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitazipenda sheria zako.+Sitalisahau neno lako.+ Methali 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ikiwa utaendelea kuutafuta kama fedha,+ na kuendelea kuutafuta kama hazina zilizofichika,+ Waroma 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani,
2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+