Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+

      Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Zaburi 40:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+

      Na sheria yako imo ndani yangu.+

  • Waroma 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani,

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki