Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:72
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  72 Sheria+ ya kinywa chako ni njema kwangu,+

      Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+

  • Mathayo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Msifikiri nilikuja kuharibu Sheria+ au Manabii. Sikuja kuharibu, bali kutimiza;+

  • Luka 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pia, siku za kuwatakasa+ hao kulingana na sheria ya Musa zilipotimia, wakamleta Yesu mpaka Yerusalemu ili kumtoa kwa Yehova,

  • Waroma 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana wasikiaji wa sheria sio walio waadilifu mbele za Mungu, bali watendaji+ wa sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+

  • Waroma 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+

  • Waroma 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani,

  • Waroma 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 lakini Israeli, ijapokuwa alikuwa akiifuatilia sheria ya uadilifu, hakuifikia sheria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki