Zaburi 119:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Sheria+ ya kinywa chako ni njema kwangu,+Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+ Mathayo 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Msifikiri nilikuja kuharibu Sheria+ au Manabii. Sikuja kuharibu, bali kutimiza;+ Luka 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pia, siku za kuwatakasa+ hao kulingana na sheria ya Musa zilipotimia, wakamleta Yesu mpaka Yerusalemu ili kumtoa kwa Yehova, Waroma 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana wasikiaji wa sheria sio walio waadilifu mbele za Mungu, bali watendaji+ wa sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+ Waroma 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+ Waroma 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani, Waroma 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini Israeli, ijapokuwa alikuwa akiifuatilia sheria ya uadilifu, hakuifikia sheria.+
22 Pia, siku za kuwatakasa+ hao kulingana na sheria ya Musa zilipotimia, wakamleta Yesu mpaka Yerusalemu ili kumtoa kwa Yehova,
13 Kwa maana wasikiaji wa sheria sio walio waadilifu mbele za Mungu, bali watendaji+ wa sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+
14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+