2 Wakorintho 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku. Waefeso 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa kusudi la kwamba awawezeshe ninyi kulingana na utajiri+ wa utukufu wake mfanywe kuwa na uwezo katika mtu mliye kwa ndani+ mkiwa na nguvu kupitia roho yake,+ Waefeso 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 bali kwamba mnapaswa kufanywa upya katika nguvu zinazoendesha akili yenu,+
16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku.
16 kwa kusudi la kwamba awawezeshe ninyi kulingana na utajiri+ wa utukufu wake mfanywe kuwa na uwezo katika mtu mliye kwa ndani+ mkiwa na nguvu kupitia roho yake,+