Kumbukumbu la Torati 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe,+ ili ulifanye.+ Ezekieli 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+
14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe,+ ili ulifanye.+
11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+