Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nawe utashika amri na masharti na maamuzi ya hukumu ninayokuamuru leo kwa kuyatenda.+

  • 1 Samweli 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;

  • Mathayo 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+

  • Waroma 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+

  • 1 Yohana 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Watoto wadogo, yeyote asiwapotoshe ninyi; yeye ambaye huendelea kufanya uadilifu ni mwadilifu, kama vile huyo alivyo mwadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki