Kumbukumbu la Torati 5:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nanyi mtakuwa waangalifu kufanya kama vile ambavyo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi.+ Msigeuke kuume wala kushoto.+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, wenye furaha ni ninyi ikiwa mnayatenda.+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+
32 Nanyi mtakuwa waangalifu kufanya kama vile ambavyo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi.+ Msigeuke kuume wala kushoto.+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+