Mathayo 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+ Luka 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+ Yakobo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.
24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+
28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+
25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.