2 Mwenye furaha ni yule mwanadamu anayeweza kufa ambaye hufanya jambo hili,+ na mwana wa binadamu anayelishika,+ anayeishika sabato ili asiitie unajisi,+ na kuuzuia mkono wake ili asitende ubaya wa aina yoyote.+
21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+
25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.