Zaburi 106:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wenye furaha ni wale wanaoshika haki,+Wakitenda uadilifu wakati wote.+ Luka 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+
28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+