Zaburi 119:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wenye furaha ni wale wanaoshika vikumbusho vyake;+Wanaendelea kumtafuta kwa moyo wote.+ Isaya 56:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yehova amesema hivi: “Shikeni haki,+ na mfanye yaliyo ya uadilifu.+ Kwa maana wokovu wangu unakaribia kuingia,+ na uadilifu wangu kufunuliwa.+
56 Yehova amesema hivi: “Shikeni haki,+ na mfanye yaliyo ya uadilifu.+ Kwa maana wokovu wangu unakaribia kuingia,+ na uadilifu wangu kufunuliwa.+