Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mtu mwenye neema+ na anayekopesha+ ni mwema.

      י [Yohdh]

      Yeye hutegemeza mambo yake kwa haki.+

  • Methali 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+

  • Isaya 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki.

  • Mika 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki