Zaburi 112:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye neema+ na anayekopesha+ ni mwema. י [Yohdh]Yeye hutegemeza mambo yake kwa haki.+ Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+ Isaya 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki. Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+
32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki.
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+